Masomo ya Jumapili kwa kifupi 14 B

Ezekieli 2:2-5; Zaburi 123; 2 Wakorintho 12:7-10; Marko 6:1-6 KukataliwaJe, umewahi kukutana na kukataliwa au maishani mwako? Je, umewahi kufika mahali ambapo wakazi hawakukukaribisha? Hisia za kukataliwa zinaweza kuwa mbaya sana, hasa unapokataliwa bila kutarajia. Kuna sababu nyingi zinazowafanya watu kuwakataa wengine. Wakati mwingine tunakataliwa kwa sababu ya tabia au kauli zetu mbaya au tabia … Continue reading Masomo ya Jumapili kwa kifupi 14 B