Masomo ya Jumapili kwa kifupi 14 B

Ezekieli 2:2-5; Zaburi 123; 2 Wakorintho 12:7-10; Marko 6:1-6 KukataliwaJe, umewahi kukutana na kukataliwa au maishani mwako? Je, umewahi kufika mahali ambapo wakazi hawakukukaribisha? Hisia za kukataliwa zinaweza kuwa mbaya sana, hasa unapokataliwa bila kutarajia. Kuna sababu nyingi zinazowafanya watu kuwakataa wengine. Wakati mwingine tunakataliwa kwa sababu ya tabia au kauli zetu mbaya au tabia … Continue reading Masomo ya Jumapili kwa kifupi 14 B

Mission Mobility Fr. Lawrence Muthee, SVD

Catechists receiving motorcycles in 2020 Before I talk about mission mobility, I would like to give a background reflection on our mission in Simanjiro as a Special Apostolate. Simanjiro SVD Mission is unique in many aspects. We consider it a special apostolate because there are many unique considerations required to work here. Specialized ministry technically … Continue reading Mission Mobility Fr. Lawrence Muthee, SVD