“Sheria ya Bwana imekusudiwa kwa manufaa yetu wenyewe”

Dominika ya sita ya mwaka A Yoshua bin Sira 15:15-20 Zaburi 119 1kor 2:6-10 Mathayo 5:17-37 Wapendwa katika Kristo tumsifu Yesu Kristo, Leo ni Dominika ya sita katika kipindi cha kawaida mwaka A. Masomo ya leo yanatualika kutafakari juu ya mada “Sheria ya Bwana imekusudiwa kwa manufaa yetu wenyewe”. Hivyo katika somo la kwanza kutoka … Continue reading “Sheria ya Bwana imekusudiwa kwa manufaa yetu wenyewe”