JUMAPILI YA 14 MWAKA C na Fr. Lawrence Muthee, SVD

'go'     Tumsifu Yesu Kristu. Leo ni Jumapili ya 14 ya Mwaka C. Masomo ya leo yanatuhimiza kuweka imani na matumaini yetu kwa Mungu kama msingi wa maisha mema. Katika Somo la Kwanza, nabii Isaya anawapa moyo Waisraeli kwamba Mungu angewarejesha katika hali ya ufanisi waliokuwa nayo kabla ya uhamisho Babeli. Anamlinganisha Mungu na … Continue reading JUMAPILI YA 14 MWAKA C na Fr. Lawrence Muthee, SVD