Sunday Readings in Brief: Ascension B

Acts 1:1-11; Ps 47; Eph 4:1-13; Mk 16:15-20 Preach to all Creation! Dear friends, today is the feast of the ascension of our Lord. This feast is marked on the fortieth day after the resurrection which falls on the Thursday before the seventh Sunday of Easter. In some countries, this feast is celebrated on Thursday itself. However, given the significance of the … Continue reading Sunday Readings in Brief: Ascension B

Masomo ya Jumapili kwa ufupi Pasaka 6 B

Matendo ya Mitume 10:25-48; Zaburi 98; 1 Yohana 4:7-10; Yohana 15:9-17 Lugha Ambayo Kila Mtu Uelewa ni Upendo Wapendwa, leo ni Jumapili ya sita ya Pasaka na Jumapili ijayo itakuwa sherehe ya Kupaa kwa Bwana wetu. Hivi karibuni kipindi cha Pasaka kitamalizika. Natumaini kwamba umepata faida ya kutosha kutoka kwa kipindi hiki cha liturujia. Katika … Continue reading Masomo ya Jumapili kwa ufupi Pasaka 6 B

Masomo ya Jumapili kwa Kifupi: Pasaka 5 B

Matendo 9:26-31; Zaburi 22; 1 Yohana 3:18-24; Yohana 15: 1-8Bila ya Kristo HatuweziWapendwa, leo ni Jumapili ya tano ya Pasaka. Tunazo wiki chache zaidi katika kipindi hiki ambacho ni kilele cha vipinfi vitano ya mwaka wa liturujia wa Kanisa. Kufikia sasa tayari tunajua mengi kuhusu ufufuo kutokana na masoma ya Jumapili na siku za wiki. … Continue reading Masomo ya Jumapili kwa Kifupi: Pasaka 5 B