Masomo ya Jumapili kwa Kifupi: Kwaresma 3 B

Mikongojo Kutoka 20:1-17; Zaburi 18(19); 1 Wakorintho 1:22-25; Yohana 2:13-25 Maneno Kumi ya Uhai Wapendwa, leo ni Jumapili ya Tatu ya Kwaresima. Tunazo wiki tatu zaidi kumaliza mazingatio ya Kwaresima na kusherehekea Pasaka. Je! Umewahi kutumia mkongojo au fimbo ya kutembelea au kuona mtu akitumia? Mkongojo hutumiwa na wale ambao kwa sababu fulani kwa miguu … Continue reading Masomo ya Jumapili kwa Kifupi: Kwaresma 3 B

Masomo ya Jumapili kwa kifupi: Jumapili ya 2 ya Kwaresma B

Mwanzo 22:1-2.10-13.15-18; Zaburi 115(116); Warumi 8:31-34; Marko 9:2-10 Kafara Wapendwa, katika maisha yetu, tunafanya kafara nyingi, kubwa na ndogo, iwe kwa faida yetu au kwa faida ya wale tuwapendao. “Kafara” ni matoleo ya kitu ambacho ni muhimu katika Maisha yetu kwa ajili ya ibada, toba, au kuonyesha uaminifu wetu wa mtu au jambo Fulani. Tunapokuwa … Continue reading Masomo ya Jumapili kwa kifupi: Jumapili ya 2 ya Kwaresma B