FIRST SUNDAY OF LENT, YEAR B

THE DIVINE WORD BASED ON CATHOLIC LITURGICAL READINGS FIRST SUNDAY OF LENT, YEAR B THEME: “THE COVENANT WITH GOD”                              ((Readings: 1st.Gen 9:8-15; Ps 24; 2nd,1Pet 3:18-22; Gos. Mk 1:12-15)) Today being the first Sunday of Lent, our mother church wants us to reflect on our covenant relationship with our God. A covenant is a … Continue reading FIRST SUNDAY OF LENT, YEAR B

Masomo ya Misa kwa kifupi: Jumatano ya Majivu

Joeli 2:12-18; Zaburi 51; 2 Wakorintho 5:20-6:2; Mathayo 6:1-6.16-18 Wapendwa, leo tunaanza kipindi cha Kwaresma, kipindi cha kipekee kwa Wakristo. Jumatano ya Majivu ni mojawapo ya siku za lazima kwa kila Mkatoliki kwenda Kanisani kupokea majivu kichwani kama ishara ya kuanza siku 40 za sala, kufunga, toba, na kutoa sadaka. Pia ni siku ya lazima … Continue reading Masomo ya Misa kwa kifupi: Jumatano ya Majivu

Masomo ya Jumapili kwa Kifupi 6 B

Walawi 13:1-2.44-46; Zaburi 31(32); 1 Wakorintho 10:31-11:1; Marko 1:40-45 oppo_0 "Kurejesha" Wapendwa, leo ni Jumapili ya sita ya kipindi cha kawaida mwaka B. Sasa tunaacha kipindi hiki cha kujifunza na kuingia katika kipindi cha Kwaresma kuanzia Jumatano ijayo. Kwaresma ni kipindi cha kutafakari na kusali kuhusu gharama ya wokovu wetu ambayo Bwana wetu Yesu alifanya … Continue reading Masomo ya Jumapili kwa Kifupi 6 B