Yeremia 23:1-6; Zaburi 23; Waefeso 2:13-18; Marko 6:30-34 Kuponya Majeraha Wapendwa, tunapozama zaidi katika Kipindi cha Kawaida cha kalenda ya liturujia ya Kanisa, lazima tuwe tumeanza kutambua kwamba masomo ya kila Jumapili yanabeba mada maalum. Jumapili iliyopita Yesu aliwatuma wanafunzi wake kwenda kuhubiri kama jaribio la kile walichokuwa wamejifunza kutoka kwake. Kwa ubatizo, tulifanywa kuwa … Continue reading Masomo ya Jumapili kwa kifupi 16 B
Month: July 2024
Sunday readings in brief 16 B
oplus_34 Jeremiah 23:1-6; Psalms 23, Ephesians 2:13-18; Mark 6:30-34 Healing the WoundsDear friends as we enter deeper into the Ordinary Season of the Church’s liturgical calendar, we must have already realized that the readings of every Sunday carry a particular lesson. Last Sunday Jesus sent his disciples on a mission to test how much they … Continue reading Sunday readings in brief 16 B
Sunday readings in brief 15 B
Amos 7:12-15; Psalms 85; Ephesians 1:3-14; Mark 6:7-13 Called, Chosen, and Sent Dear friends, today is the 15th Sunday in ordinary time. After Jesus had gathered several followers, he chose some of them to partake in his ministry. Every Christian is called, chosen, and sent to partake of this ministry wherever he or she is. … Continue reading Sunday readings in brief 15 B
Masomo ya Jumapili kwa Kifupi 15 B
Amosi 7:12-15; Zaburi 85; Waefeso 1:3-14; Marko 6:7-13 Umeitwa, Ukachaguliwa, na Kutumwa Wapendwa, leo ni Jumapili ya 15 katika kipindi wa kawaida. Baada ya Yesu kukusanya wafuasi kadhaa, aliwachagua baadhi yao kushiriki katika utume wake. Kila Mkristo ameitwa, amechaguliwa, na ametumwa kushiriki katika utume huu popote alipo. Tulipokea wito huu tulipobatizwa, kuoa au kuolewa, katika … Continue reading Masomo ya Jumapili kwa Kifupi 15 B
SVD General Chapter
As the Divine Word Missionaries General Chapter, which is taking place in Nemi, comes towards its end, I present you with a quick glimpse of the deliberations that the capitulars have been putting into perspective for the last month.
