Masomo ya Jumapili kwa kifupi 16 B

Yeremia 23:1-6; Zaburi 23; Waefeso 2:13-18; Marko 6:30-34 Kuponya Majeraha Wapendwa, tunapozama zaidi katika Kipindi cha Kawaida cha kalenda ya liturujia ya Kanisa, lazima tuwe tumeanza kutambua kwamba masomo ya kila Jumapili yanabeba mada maalum. Jumapili iliyopita Yesu aliwatuma wanafunzi wake kwenda kuhubiri kama jaribio la kile walichokuwa wamejifunza kutoka kwake. Kwa ubatizo, tulifanywa kuwa … Continue reading Masomo ya Jumapili kwa kifupi 16 B

Masomo ya Jumapili kwa Kifupi 15 B

Amosi 7:12-15; Zaburi 85; Waefeso 1:3-14; Marko 6:7-13 Umeitwa, Ukachaguliwa, na Kutumwa Wapendwa, leo ni Jumapili ya 15 katika kipindi wa kawaida. Baada ya Yesu kukusanya wafuasi kadhaa, aliwachagua baadhi yao kushiriki katika utume wake. Kila Mkristo ameitwa, amechaguliwa, na ametumwa kushiriki katika utume huu popote alipo. Tulipokea wito huu tulipobatizwa, kuoa au kuolewa, katika … Continue reading Masomo ya Jumapili kwa Kifupi 15 B

SVD General Chapter

As the Divine Word Missionaries General Chapter, which is taking place in Nemi, comes towards its end, I present you with a quick glimpse of the deliberations that the capitulars have been putting into perspective for the last month.