Masomo ya Jumapili kwa kifupi: Kawaida 2 B

Masomo ya Jumapili kwa kifupi 2 B 1 Samweli 3:3-10.19; Zaburi (39)40; 1 Wakorintho 6:13-15.17-20 Yohana 1:35-42 Wito Wangu Wapendwa, leo ni Jumapili ya pili katika kipindi kifupi cha Wakati wa Kawaida ambacho kitatangulia kipindi cha Kwaresima. Wakati wa Kawaida, masomo ya liturjia yanatuongoza kupitia historia ya wokovu. Leo tunajifunza kuhusu mwanzo wa utume za … Continue reading Masomo ya Jumapili kwa kifupi: Kawaida 2 B

Masomo ya Jumapili kwa Kifupi: Tokeo la Bwana

Isaya 60:1-6; Zaburi (71)72; Waefeso 3:2-3.5-6; Mathayo 2:1-12 Mungu anajidhihirisha kwa watu wote Wapendwa, Leo ni sikukuu ya Tokeo la Bwana. Ufunuo maana yake ni kujidhihirisha. Mungu aliamua kujidhihirisha kwetu kupitia Mwana wake Bwana wetu Yesu Kristo ili aturejeshe kwake, kurejesha taswira na mfano wa awali tulioupoteza kwa dhambi. Ufunuo wa kwanza wa Yesu ulikuwa … Continue reading Masomo ya Jumapili kwa Kifupi: Tokeo la Bwana

THE HOLY FAMILY OF JESUS, MARY & JOSEPH

ILIZWI REFLECTIONSSunday 31 December 2023***THE HOLY FAMILY OF JESUS, MARY & JOSEPH1 Samuel 1:20-22.24-28Psalm 84:2-3.5-6.9-111 John 3:1-2.21-24Luke 2:41-52 WE ARE A BIG FAMILY“The shepherds went in haste, and found Mary and Joseph and the infant lying in a manger” – Lk 2:16 Celebrating the feast of the Holy Family just after Christmas puts the birth … Continue reading THE HOLY FAMILY OF JESUS, MARY & JOSEPH