1 Kings 4:42-44; Psalms 145; Ephesians 4:1-6; John 6:1-15 Divine Providence Dear friends, today is the 17th Sunday of Ordinary Time year B. The theme I have chosen for today’s reflection is “Divine Providence”. To provide is to make available what is necessary. The first reading and the Gospel talks about the bread that god … Continue reading Sunday readings in brief 17 B
Author: jambokentan
Masomo ya Jumapili kwa kifupi 16 B
Yeremia 23:1-6; Zaburi 23; Waefeso 2:13-18; Marko 6:30-34 Kuponya Majeraha Wapendwa, tunapozama zaidi katika Kipindi cha Kawaida cha kalenda ya liturujia ya Kanisa, lazima tuwe tumeanza kutambua kwamba masomo ya kila Jumapili yanabeba mada maalum. Jumapili iliyopita Yesu aliwatuma wanafunzi wake kwenda kuhubiri kama jaribio la kile walichokuwa wamejifunza kutoka kwake. Kwa ubatizo, tulifanywa kuwa … Continue reading Masomo ya Jumapili kwa kifupi 16 B
Sunday readings in brief 16 B
oplus_34 Jeremiah 23:1-6; Psalms 23, Ephesians 2:13-18; Mark 6:30-34 Healing the WoundsDear friends as we enter deeper into the Ordinary Season of the Church’s liturgical calendar, we must have already realized that the readings of every Sunday carry a particular lesson. Last Sunday Jesus sent his disciples on a mission to test how much they … Continue reading Sunday readings in brief 16 B
Sunday readings in brief 15 B
Amos 7:12-15; Psalms 85; Ephesians 1:3-14; Mark 6:7-13 Called, Chosen, and Sent Dear friends, today is the 15th Sunday in ordinary time. After Jesus had gathered several followers, he chose some of them to partake in his ministry. Every Christian is called, chosen, and sent to partake of this ministry wherever he or she is. … Continue reading Sunday readings in brief 15 B
Masomo ya Jumapili kwa Kifupi 15 B
Amosi 7:12-15; Zaburi 85; Waefeso 1:3-14; Marko 6:7-13 Umeitwa, Ukachaguliwa, na Kutumwa Wapendwa, leo ni Jumapili ya 15 katika kipindi wa kawaida. Baada ya Yesu kukusanya wafuasi kadhaa, aliwachagua baadhi yao kushiriki katika utume wake. Kila Mkristo ameitwa, amechaguliwa, na ametumwa kushiriki katika utume huu popote alipo. Tulipokea wito huu tulipobatizwa, kuoa au kuolewa, katika … Continue reading Masomo ya Jumapili kwa Kifupi 15 B
