Eze 2:2-5; Ps 123; 2 Cor 12:7-10; Mk 6:1-6 Rejection Have you ever faced rejection in your life? Have you been to a place where the residents did not welcome you? The feeling of rejection can be very devastating, especially when it comes as a surprise. There are many reasons why people reject others. Sometimes … Continue reading Sunday readings in brief 14 B
Author: jambokentan
Mission Mobility Fr. Lawrence Muthee, SVD
Catechists receiving motorcycles in 2020 Before I talk about mission mobility, I would like to give a background reflection on our mission in Simanjiro as a Special Apostolate. Simanjiro SVD Mission is unique in many aspects. We consider it a special apostolate because there are many unique considerations required to work here. Specialized ministry technically … Continue reading Mission Mobility Fr. Lawrence Muthee, SVD
Masomo ya Jumapili kwa Kifupi 13 B
Hekima 1:13-15, 2:23-24; Zaburi 30, 2 Cor 8:7.9.13-15; Marko 5:21-43 Kwa Nini Kuamini oppo_0 Wapendwa, leo ni Jumapili ya 13 ya Kipindi cha Mwaka wa Kanisa. Kabla ya kutafakari kuhusu masomo ya leo, ningependa tujitafakari kuhusu kwa nini tunamwamini Mungu. Wengi wetu tulipokea imani kutoka kwa wazazi wetu na jamii tulizokulia. Baada ya kuwa na … Continue reading Masomo ya Jumapili kwa Kifupi 13 B
Sunday readings in Brief 13 B
Wis 1:13-15, 2:23-24; Ps 30, 2 Cor 8:7.9.13-15; Mk 5:21-43 Why Believe oppo_0 Dear Friends, today is the 13th Sunday in Ordinary time. Before we reflect on what the readings tell us today, I would like us to reflect on why we believe or do not believe in God. Many of us received the faith … Continue reading Sunday readings in Brief 13 B
Masomo ya Jumapili kwa Kifupi: 12 B
Ayubu 38:1.8-11; Zaburi 107; 2 Wakorintho 5:14-17; Marko 4:35-41 Kwa nini unaogopa? Wapendwa, leo ni Jumapili ya 12 ya Kipindi cha Kawaida mwaka B. Katika somo la leo, Yesu anatufundisha mambo ya ufalme wa Mungu kupitia mafundisho na ishara zake. Kuna hadithi inayosimuliwa kuhusu mkristo mmoja aliyemwalika Yesu aambatane naye katika safari. Hivyo, waliondoka pamoja … Continue reading Masomo ya Jumapili kwa Kifupi: 12 B
