Hekima 1:13-15, 2:23-24; Zaburi 30, 2 Cor 8:7.9.13-15; Marko 5:21-43 Kwa Nini Kuamini oppo_0 Wapendwa, leo ni Jumapili ya 13 ya Kipindi cha Mwaka wa Kanisa. Kabla ya kutafakari kuhusu masomo ya leo, ningependa tujitafakari kuhusu kwa nini tunamwamini Mungu. Wengi wetu tulipokea imani kutoka kwa wazazi wetu na jamii tulizokulia. Baada ya kuwa na … Continue reading Masomo ya Jumapili kwa Kifupi 13 B
