Masomo ya Jumapili kwa Kifupi: 12 B

Ayubu 38:1.8-11; Zaburi 107; 2 Wakorintho 5:14-17; Marko 4:35-41 Kwa nini unaogopa? Wapendwa, leo ni Jumapili ya 12 ya Kipindi cha Kawaida mwaka B. Katika somo la leo, Yesu anatufundisha mambo ya ufalme wa Mungu kupitia mafundisho na ishara zake. Kuna hadithi inayosimuliwa kuhusu mkristo mmoja aliyemwalika Yesu aambatane naye katika safari. Hivyo, waliondoka pamoja … Continue reading Masomo ya Jumapili kwa Kifupi: 12 B