Masomo ya Misa kwa kifupi: Jumatano ya Majivu

Joeli 2:12-18; Zaburi 51; 2 Wakorintho 5:20-6:2; Mathayo 6:1-6.16-18 Wapendwa, leo tunaanza kipindi cha Kwaresma, kipindi cha kipekee kwa Wakristo. Jumatano ya Majivu ni mojawapo ya siku za lazima kwa kila Mkatoliki kwenda Kanisani kupokea majivu kichwani kama ishara ya kuanza siku 40 za sala, kufunga, toba, na kutoa sadaka. Pia ni siku ya lazima … Continue reading Masomo ya Misa kwa kifupi: Jumatano ya Majivu